Aliyetoa Maoni "Acha Wafe" Kwenye Habari ya Kuuawa Askari 8 Atiwa Mbaroni Mbeya


Aliyetoa maoni ktk Tweet ya Millard Ayo kwamba Askari 8 waliouwawa acha wafe, amekamatwa na Polisi Mbeya kwa kauli hiyo

Tuwe makini sana na Tunayoandika ama kukoment kwenye mitandao.....
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad