Hatimaye Yule Jamaa Aliyerekodi Tukio Akimuua Mzee Amejiua Mwenyewe


Yule Jamaa ambae alirekodi tukio live akimuua mzee wa miaka 79 kwa bastola hatimae amejiua mwenyewe .

Tukio hilo la kujiua limetoa muda tu baada ya polisi kumpata na kuanza kulikimbiza gari lake ila kabla hawajamkamata alijipiga risasi na kukatisha uhai wake hivyo.... Jamaa kabla ya kifo chake inasemekana ameua watu kumi na tano bila sababu kisa tu anamaumivu ya kuachwa na mpenzi wake..
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad