Hoja ya Mbowe Waliyoidharau Wabunge wa CCM Imeanza Kupata Majibu..!!!


Juzi Mh Mbowe katoa hoja ya bunge kujadili usalama wa wananchi kutokana na kushamiri kwa matukio ya kihalifu ya mauaji na utekaji.

Wabunge wa CCM wakiongozwa na Jenista Mhagama wakapinga na kusema Tanzania ni salama kuwa bunge lina mambo mengi ya kujadili. Hayajapita hata masaa 12 askali 8 wamevamiwa na kuuawa, bado kina Mhagama wanasema Tanzania ni Salama.

Nataka kuwaambia CCM kuwa endeleeni na dharau zenu, mnayoyataka soon mtayapata na siku yakiwakuta hakutakuwa na mtu wa kuwasemea wala kuwaonea huruma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad