JACK Wolper Amshukuru Mungu Kwa Kutuletea Paul Makonda na Mwakyembe


Pande mbili zaendelea kuvutana huko Bongo Movies huku wengine wakiongozwa na Wema Sepetu wakirusha madongo kwa wanao support harakati za RC kupiga marufuku filamu za nje Dar, Leo Jack Wolper amerudi tena na kuandika haya:

By @wolperstylish
"MUSA AKAULIZA AKASEMA U NANI WEWE? MUNGU AKAJIBU AKASEMA MIMI NI JEHOVA NIKO AMBAYE NIKO NAKUTUMA SASA NENDA KWA FARAO UKAMWAMBIE AWAACHIE WATU WANGU.HALIKUWA JAMBO RAHISI KWA MUSA MAANA ALIUJUA MOYO WA FARAO KWA ZAIDI YA MIAKA 40 THANKS GOD KWA KUTULETEA MSETO HUU WA MH.MAKONDA NA WAZIRI WETU MH.MWAKYEMBE TUNAAMINI UMEWATUMA KAMA ULIVYOMTUMA MUSA KWA FARAO TAJIRI MWENYE KIBURI MWENYE MOYO MGUMU NA MAMLAKA ZISIZOWEZEKANA LAKINI UKAWEKA NENO LAKO NDANI YA MUSA NA WANA WA ISRAEL WAKASHUHUDIA FARAO NA JESHI LAKE WAKIFA KATIKA BAHARI YA SHAMU HUKU WAO WAKIWA NG'AMBO YA PILI AMBAPO MUNGU ALIWAVUSHA. SISI BONGO MOVIE TUNAAMINI MH.MAKONDA NA MH.MWAKYEMBE WATATUVUSHA NG'AMBO YA PILI SALAMA." Wolper
.

TOA MAONI YAKO HAPA
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad