Kimenukaa..Kamanda Sirro Aibua Upya Sakata la Madawa ya Kulevya..!!


Watu waliokuwamo kwenye orodha ya kuhojiwa kuhusu dawa za kulevya na kutakiwa kufika Kituo Kikuu cha Polisi lakini hawakufika, wametakiwa kuripoti haraka. 

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro bila kutaja idadi alisema jana miongoni mwao wamo walioorodheshwa kwenye orodha iliyokabidhiwa kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga. 

“Niwaombe wote waliopokea wito wa polisi waje wahojiwe kwa sababu mtu akija mwenyewe ni tofauti na akisubiri nguvu ya dola kutumika kumkamata,” alisema Siro.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwani makonda alimaliza list zake kutaja wahusika wa dawa za kulevya o skendo zimemzima?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad