Kimenukaa..Mange Afunguka Mazito..Adai Wakenya Wametumwa Kwenda Kumuua..Amtahadharisha Wema Sepetu..!!!


Wema tafadhali be very careful.,,,,, Hali ni mbaya! Bashite ana hasira na wewe na Bashite akikuchukia ujue na Mkulu automatically ameshakuchukia. So please Wema jiangalie sana!! Acha kualika watu nyumbani! Acha kutoka peke yako, Weka ulinzi mzuri nyumbani ikibidi weka CCTV cameras ambazo zina remote access.... Magufool na Bashite hawatopenda ufike kampeni za 2020 sababu wanaijua kazi yako ya kuhamasisha vijana!!! Jiangalie sanaaaaa mdogo wangu!!!
.
.
.
Hawa watu wana play by the Kagame playbook! Hakuna mtu anaemsema vibaya Kagame anaendelea kupumua! Sio alieyopo Rwanda au nje ya Rwanda! Ukifungua mdomo juu ya Kagame you are a dead man walking na hii ndo kitu Magufool na Bashite wanaileta Tanzania........
.
.
.
.
Mimi mwenyewe hapa Sasa hivi naishi roho mkononi najua anytime watanitungua Ila nifanyeje sasa? Hatutakiwi kuwaogopa... Cha maana nilichofanya niku- involve polisi kuwa my government wants to harm me so nachofanya nikucheck-in kila baada ya muda flani( siwezi kuutaja) na nisipocheck in tu wanajua nimepatwa na kitu......na nimeinstall cameras mbele na nyuma ya gari yangu Camera ambazo zinakuwa accesed remotely pamoja na mlangoni kwangu. Nachotaka angalau atakaeniua apatikane... Na nimeambiwa na watu wengi mnoooo kuwa watakaotumwa kuja kuniumiza wala sio Watanzania, ni Wakenya!! Hata Ulimboka ile issue ilifanywa na Wakenya.....Napia najua nikifa Mimi ataibuka mwingine kama Mimi au zaidi yangu Mimi..... Mbona Ben Saanane wamemuua na watu ndo kwanza tunapanga kulitifua upyaaaa timbwili la PhD ya mkulu na hatuogopiiiii?? . Kama wanataka watu wanyamaze basi wabadilike..... Ila sio kutuletea mambo ya Kagame....

Chanzo -  Mange kimambi Instagram Page

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad