Korea Kaskazini Yasema Iko Tayari kwa Vita na Marekani..Wadai Watatumia Silaha Zao Zote Kali za Nyuklia na Makombora ya Masaafa Marefu..!!!


Hayo ni maneno ya uongozi wa Korea Kaskazini katika joto la wababe hawa linaloendelea kupanda kila kukicha.

"Tumejiandaa vizuri kwa chochote kitakachotoka kwa Marekani."

Haya yanatokea wakati Korea Kaskazini inajiandaa na tukio kubwa wanaloliita "day of the sun" na huenda na siku hiyo wakafanya majaribio ya silaha zao za nuclear. 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad