Maiti za Wahamiaji Zaokotwa Baharini


Maiti za wahamiaji zimekutwa katika bahari ya Mediterania. 

Kwa mujibu wa habari,maiti za wahamiaji hao zilipatwa na mvuvi katika bahari hiyo. 

Kati ya maiti 28 nne zimetambulika kuwa ni za wanawake. 

Ripoti zinaonyesha kuwa wahamiaji hao walikuwa wanajaribu kuvuka bahari ya Mediterania kutoka Libya kuelekea Ulaya. 

Mtumbwi huo unasemekana kupinduka na kusababisha wahamiaji hao kupoteza maisha baada ya kuzama huku wengine walipoteza maisha kutokana na kukaa kwa njaa kwa wakati mrefu. 

Ni zaidi ya wahamiaji haramu 100 wameweza kupita katika bahari hiyo kuelekea Italia ndani ya miaka mitatu iliyopita. 

Vilevile ni zaidi ya wahamiaji mia saba wamepoteza maisha wakijaribu kuvuka bahari hiyo. 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad