Mambo Si Mambo..Kuelekea Vita na Korea Kaskazini..Marekani Waamua Kutumia Helment Hizi Ghali Zaidi Duniani..Moja Inauzwa Milioni 900..!!!


Marubani wanaotumia ndege za kivita za Marekani F-35 stealth fighter watakuwa wakitumia helmet ghali zani duniani. 

Kupitia helmet hii, rubani ataona kila kitu cha dunia kinachoonwa na camera za ndege.

Bei ya helmet moja ni dola za Marekani 400,000 sawasawa na milioni 900 za Kitanzania.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad