Serikali Mnawajibika Kuyafuta Machozi ya Hawa Waandishi..Tazama Wakisimulia Huku Wakilia

Jumamosi ya April 22, 2017 kuliripoiwa taarifa ya waandishi wa habari saba kushambuliwa na wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CUF wanaomuunga mkono Prof. Lipumba wakati wanatekeleza wajibu wao kitaaluma katika Hotel ya Vina, Dar es Salaam.

Ayo TV na millardayo.com imekutana na baadhi ya waandishi hao ambao walikutwa na mkasa huo na hapa wanasimulia namna tukio hilo lilivyotokea hadi kupelekea mmoja wao kutaka kujirusha kutoka ghorofa ya nne ili kuokoa maisha.

Bonyeza play kutazama…

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad