Shilole 'Mwanaume kuwa Mario ni kumtia aibu mama yako mzazi na dada yako'


"Mwanaume kuwa Mario ni kumtia aibu mama yako mzazi, na dada yako. Nawashauri vijana marioo mkafanye kazi mpate pesa, hata kushona viatu ni kazi mkafanye kazi siyo kutegemea wanawake tu" Shilole

Kwa uonavyo wewe, kijana kulelewa na mwanamke ni sawa au si sawa?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad