TIMU ya Bwana Samatta Genk Yachapwa Europe Leagueà


Timu ya Bwana Samatta inayocheza Europa League Jana imechezea Kichapo kutoka Timu ya Celta wakiwa ugenini....Matumaini bado yapo kama anavyoandika mtaalamu wa MICHEZO Shaffih Dauda hapa Chini:
.
.

Kutoka kwa @shaffih - Genk wanarudi Belgium wakiwa wanahitaji goli 1 bila kuruhusu Celta kufunga na watafuzu kucheza nusu fainali ya Europa League. #HainaKufeli
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad