Tundu Lissu: Utawala Wangu Utainyosha Serikali ya Magufuli...!!!


Rais wa wa Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS) Tundu Lissu, amesema utawala wake utahakikisha unainyoosha serikali ya awamu ya 5 ili ifuate misingi ya sheria.

Amesema hivi sasa nchi inakabiliwa na hali mbaya ya uvunjifu wa haki kutokana na baadhi ya viongozi kujiona wapo juu ya Sheria.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad