USHAURI wa Buree..Hizi Hapa Mbinu za Kuwapata Majambazi Rufiji na Mkuranga..!!


1. Lazima ikaguliwe nyumba moja baada ya nyingine kuwabaini wahusika. 

2. Kuwepo na vizuizi toka kijiji kimoja kwenda kingine kwa ukaguzi makini. 

3. Pia mabalozi wa nyumba 10 waeleze kama wanawafahamu wananchi wao kwenye maeneo yao.

4. Askari waache kulinda kwa mazoea sasa watambuwe kuwa wanawindwa na majambazi hivyo lazima walinde wakipeana hatua kadhaa toka alipo askari mmoja kumfikia mwengine wasirundikane.

5. Askari kanzu wenye silaha za bastola waongezeke kwa wingi maeneo tajwa.

6. Zipigwe kura za kuwabaini wahusika wa mambo haya.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad