Vita Kuu ya Tatu ya Dunia Yanukia (WW3)

Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys nuclea zimeanza kujiandaa kuingia vitani,

Hii vita ya tatu ya Dunia ya safari hii itakua ni balaa. Sasa na huu ugumu wa maisha tulionao nahisi tujiandae kula nyasi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad