WANAUME Kiumbe Kilichokuwa Adimu Kinaelekea Kutoweka Duniani


Habari zenu Kuna Jambo linakera saana kutoka kwa wanaume wa siku hizi wamekuwa ni watu wasiojiongeza hata kidogo, Kuna mkaka alikuwa ananitaka kimapenzi ana kazi kubwa tuu ya kuheshimika sasa amekuwa ni mtu wa kupenda kubebwa kila ofa nimtoe, hajiongezi yaani yupo kama chuma ulete sijui ni ubahili au kutokujiongeza kiukweli naona kiumbe hiki adimu kinazidi kutoweka siku hadi siku Kuna haja ya serikali kukiweka makumbusho ya taifa, nakumbuka zamani mzazi akipata mtoto wa kiume anasema nimepata mkombozi, mrithi, jembe lkn siku hizi ni tofauti kabisaa wanaume wamekuwa wa mizinga, kupenda kulelewa mi nikikuona tuu najua Kuna hasara kichwani na huwezi kuiendesha familia kama baba...

Wanaume Suruali Siwataki..

By Queen of the Jungle

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad