Wengi Msimshangae Ali Kiba, Hakuna Mtu Anayempenda Diamond Kama Ali Kiba

Wengi wanamshangaa sana allykiba kwann hataki kupatanishwa na Diamond. Jibu ni simple tu..Dogo Ali yupo kwasababu ya kiki ya Diamond. Unamkumbuka kanumba na Ray ( Kigosi). Japo Ray aliaanza tokea zamani kwenye filamu na maigizo but hakuweza kumfikia Kwa nusu kipaji cha kanumba.

Kipind kile watu walikuwa wanawafananisha Ray na Kanumba..!! Kufaninishwa kule kulifanya hata wasanii km JB waonekane hawajui sana Kwa Ray. Japo hawa wawili hawakuwa na bifu but walitengeneza kaushindani ambapo kalikuwa kanambeba sana Ray..!! Leo kanumba hayupo, Ray kapotea sana..Ray hatrend kwenye muvi tena...anatrend Kwa mikorogo tu.

Tuje Kwa kiba.
Kiba anajua kabsa Siku atakayopatana na Diamond basis ndo mwisho wa kutrend. Kwa miziki anayoimba kiba anahitaji promo sana. Ile hata kumuandika hivi ni kumpa promo.

Kuna kipind Fulani nilikutana na abdu kiba( mdogo wa kiba) nilimuuliza mbn mnaweka bifu sana Kwa diamond wakati hana time na nyie..!! Alichojibu abdu alisema ni masuala ya kibiashara tu. Ali hamchukii diamond km watu wanavyodhani, but kuwa na bifu na Diamond kunamfanya anapata attention.

Abdu aliniambia pia hii bifu ilitengenezwa na clouds FM ili wawe wanapata watu kwenye fiesta Kwa uwepo wa alikiba kwakuwa diamond anawazinguaga clouds kwenye shoo za fiesta za mikoani.

Tusimlaumu sana kiba..kiba siyo msanii mzuri, yeye mwenyewe anajijua na hawezi kuwa msanii Mkubwa akikosa attention za diamond...!! Kiba bila diamond hana kitu.

Kwann diamond anamuhitaji kiba kipindi hiki?
Diamond mfanya biashara..na anataka kuwashawishi wasanii wa bongo fleva waingie makubaliano kwenye website yao ya kuuza mziki. Diamond mtoto wa mjini yupo radhi ajijushe ili apate mkwanja. Na Diamond anajua siku akipatana na kiba tu basi kiba Keisha Habari yake.

But kiba utatumia mgongo wa dai mpaka lini. ?

Ushauri Kwa diamond
Hawa wasanii wako wadogo kabla ya kutoa jiridhishe uwezo wao. Walianza vizuri but naona uwezo wao mdogo sana. Angalia kijuso ray/Dada ako sijui hata wameimba nini?

Niambie ya harmonise nyimbo ya kawaida sana. Mlianza vyema naona wenzako watakuangusha soon.hata producer laizer naye angalia kiwango chake.

By Chipa GM/JF

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. let me correct labda wewe humjui Kiba but we au mimi tunamjua sanaaaaaa........... and for your infomation mtu akikaa kimya sio mjinga showing off inaonyesha urimbukeni wapi Kiba my dear umekosea Kiba he civilised we uko wapi wa msituni nini kila musician ana utamu wake so wewe tulia tu

    ReplyDelete
  2. unaandika usenge andika mambo ya maendeleo fuck off

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad