Zitto Kabwe: Kila Wakipanga Kuniteka Wanakuta Mti wa Mrumba au Bwawa la Karosho au Ziwa Tanganyika..!!!


“Mwaka jana niliambiwa kuwa wabunge tunaowindwa tupo watatu, mwanzoni mwa mkutano huu wakawa saba. Wakati huu wa Bunge la Bajeti nikajulishwa kuwa tumefikia saba. Sasa naona idadi iliyotangazwa na Mheshimiwa Bashe inasema ni wabunge kumi na moja wanaotakiwa kutekwa,” .
“Nadhani ni mambo ya kupeana hofu tu. Kwanza, sijafanya lolote la kusababisha nitekwe, kuteswa na kupotezwa. Hivyo habari hizi nazidharau kwa sababu sioni sababu kwanini nitekwe.”
“Wanaweza kupanga kuniteka wakanifuata wakakuta mti wa mrumba au Bwawa la Karosho au Ziwa Tanganyika. Wathubutu tu wataona.” 

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad