Zitto: Nitaungana na Vyama vya Upinzani Kumsimamisha Mgombea Mmoja wa Urais 2020

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT wazalendokatika mahojiano maalum amesema mwaka 2020 kuwa hajapiga hesabu zakugombea urais amesema atakaa na vyama vya upinzani na kumsimamisha mgombea mmoja, mgombea huyo anaweza akatoka chama chochote kati ya Chadema, CUF,NCCR Mageuzi au ACT.

Alipoulizwa kama anaukubali UKAWA kama muungano thabiti amesema wataunda umoja mwingine kwa sababu ule ulikuwa ni kwa ajili ya mambo ya katiba.

My Take: Zitto naona amefanya busara, upinzani inabidi wafikirie namna yakuungana upya, maana kumekuwa na vijana wake wa ACT wazalendo wanapiga siasa za maji taka kwa upinzani wenzao hadi unashangaa kama lengolao ni nini

Video:

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hatukutaki.onakumbuka skando yako na sisi hata mwenyekiti wetu na lussu wetu walikukania bahati yako. Na ukirudia utakuona yake uliuokimbia na yakakijimbiza

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad