10 Phylosophy of Life. Hebu Jaribu Kuzifuata Hizi kwa Usalama Wako..!!!!


FALSAFA BORA YA MAISHA YAKO!
1-Uckubali kuzoeana na mtu usiyemjua
2-Unapoitwa ghafla usigeuke,puuza kama husikii ili kupima sauti ni ya nani?
3-ucpendelee kutumia njia moja,badilisha njia nyingine ili usiwe maarufu kwa njia fulani
4-popote utakapo kwenda fuata shida yako iliyokupeleka
5-Epuka kuchunguza na kufuatilia kitu kisichokuhusu na epuka kulaumu hadharani
6-jitahid kumjua mtu tabia yake
7-mjali mwenzako tunza siri na jitahid kutimiza ahadi
8-Ukiaminiwa basi na wewe jiaminishe.
9-Usiwe na tabia ya kudharau wenzio
10-Ridhika na ulichonacho kwa MUNGU useme ahsante...
ongezea na ww falsafa yako!!
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad