EDWARD Lowassa ni Mzigo...Lipumba Atoa ya Moyoni


Profesa Ibrahim Lipumba amesema aliamua kurudi CUF  kwa sababu ya sintofahamu iliyokuwapo kwenye Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa) baada ya kumtangaza Edward Lowassa kuwa mgombea urais wa chama hicho.


 Profesa Lipumba amesema hayo leo asubuhi wakati akihojiwa na  Televisheni ya Clouds katika kipindi cha 360.


 Amesema  alidhani Dk Wilbroad Slaa ndiye atakuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Ukawa na aliafiki hilo lakini akadai hakupenda Lowassa kuwania nafasi hiyo kwa sababu ni mzigo mzito kumnadi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad