EXCLUSIVE..Huyu Hapa Ndiye Mrithi wa Kinana CCM..!!!


Kama haya niliyoyapata kutoka kwenye chungu ni kweli, basi naamini CCM itaanza kurejea katika misingi yake ya ujamaa...

Dr. Bashiru ni miongoni mwa wana~ujamaa waliobaki katika nchi hii. Ni mtu anayeamini katika siasa za kujitegemea na katika falsafa ya Mwalimu Nyerere...

Ni mwanafunzi na mwalimu mtiifu wa falsafa ya ujamaa. Naamini akipewa chama atakirudishia heshima aliyoiacha Mwalimu Nyerere. Na ataendana sana na Mjamaa mwenzake Dr. Magufuli
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad