FAHAMU Faida 9 za Kushangaza Utakazozipata kwa Kutumia Chai Yenye Mchaichai..!!!


Mchaichai ni mmea ambao unatambulika hapa nchini pamoja na Afrika kwa ujumla wake, lakini hapa nchini wengi huutambua mmea huu kama kiungo katika chai na husaidia kinywaji hicho kuwa na harufu mwanana zaidi na kuwavutia watumiaji.

Miongoni mwa faida za mchaichai ni pamoja na hizi zifuatazo:-

1. Kuzuia kutapika

2. Kutuliza maumivu ya tumbo

3. Kupunguza makali ya homa.
4. Msaada kwa wenye tatizo la  baridi yabisi,

5. Husaidia  kusafisha figo

6. Huzuia tatizo la tumbo kuunguruma 

7. Husaidia uyeyushaji wa chakula

8. Hupunguza uwezekano wa kupatwa na maumivu mbalimbali ya mwilini.

9. Husaidia kupunguza maumivu kwa kinamama wakati wa hedhi 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad