HITIMISHO Makundi: Serengeti Boys Inahitaji Ushindi Mnono kwa Niger Kumuepuka Ghana..!!!


Mishale ya saa mbili na nusu za Tanzania, Serengeti Boys itashuka dimbani kupepetana na Niger kuhitimisha safari ya makundi huku ikihitaji ushindi ama sare ya aina yoyote kusonga mbele hatua ya nusu fainali.

Huku Tanzania ikihitimisha na Niger, Mali atahitimisha na Angola. Mpaka sasa Ghana ndio timu pekee ambayo goli lake halijatikishwa huku ikipachika wavuni mabao tisa, ni timu iliyo gumzo zaidi nchini Gabon. Aheri kukutana na Ghana fainali kupitia mgongo wa Guinea.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad