Hivi ndivyo Idris alivyoamua kumtania Linah kuhusu ujauzito wake

Baada ya msanii Linah Sanga kuachia picha mtandaoni zinazoonyesha ujauzito wake, mchekeshaji Idris Sultan ameamua kutia neno katika moja ya picha hizo.

Kupitia instagram Idriss ameandika haya machache “best celebrity pregnancy photos Tanzania nzima, shoutout to the baby it is photogenic.

“Ila swali ni moja kama unakaa unatushauri raha tujipe wenyewe alafu unatuacha kwenye mataa hii mimba jinsi ulivyoipata kumbe uliteleza ukadondokea virutubisho eee @officiallinah alafu @director_ghost njoo uone hii picha ya msanii ni kali nilitaka tu uione wala hauhusiki,” aliandika Idriss.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad