HUKU Ndiko Alipokuwa Dogo Mfaume Kabla ya Mauti Kumkuta..!!!


Msanii wa muziki wa bongo fleva, Dogo Mfaume ambaye aliwahi kutamba na nyimbo kama 'Kazi Yangu Ya Dukani' amefariki dunia leo 

Dogo Mfaume ambaye alitumbukia kwenye janga la madawa ya kulevya na baadaye kuanza kupata matibabu ya kuondokana na matumizi ya madawa hayo kupitia kituo cha Pilli Missana Foundation kilichopo Kigamboni.

Akiongea na EATV Pili Missana ambaye ni Mkurugenzi wa kituo hicho amethibitisha kufariki kwa msanii huyo.

Mungu amlaze mahali pema peponi Dogo Mfaume. Jikumbushe na moja ya kazi yake hapo chini 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad