JIBU Alilotoa Ray C Kuhusu Kuwa na Uhusiano wa Kimapenzi na Mbunge


Kuna uvumi nyingi kuhusu Ray C, mwimbaji huyo amesemwa mara mingi kwasababu amehushishwa na kashafa kadhaa wa kadhaa.

Hivi karibu kumekuwa na ubuyu kuwa mrembo huyo alijiingiza katika uhusiano wa kimapenzi na mbunge ambaye ameoa.

Ray C hata hivyo amekana uvumi huo, amedai kuwa hajawai kujihusisha katika uhusiano wa kimapenzi na mheshimiwa yeyota licha ya kufahamiana na wabunge mbalimbali.

“Kwanza kwa sasa mambo ya mapenzi nimeyaweka kando, niko bize na muziki wangu, akili na hisia zangu zote nimezielekezea kwenye kazi. Muziki ndiyo kila kitu kwangu,” alisema Ray C.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad