Web

LIPUMBA " Mimi Sikusaliti Chama, Waliosaliti ni Wale Waliomkaribisha Lowassa"

Top Post Ad


Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa CUF na Maalim Seif ni Katibu Mkuu ila tatizo hafiki ofisini ilimpangie majukumu yake.

Pia amesema kuwa yeye na Dkt. Slaa hawakusaliti vyama vyao, walisimamia misingi halisi ya vyama. Waliowasaliti ni wale waliomkaribisha Lowassa.

Maalim Seif anatumia ubabe kuwadhibiti Wabunge ambao wananiunga mkono wapo Wabunge 42 wenye msimamo ni wawili tu.

Aidha Prof. Lipumba amekiri kuwahi kuwa mwanachama wa CCM lakini hakuwahi kuwa mwanachama kindakindaki alikuwa mwanachama wa kawaida tu.

Below Post Ad

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.