LISSU: Rais Alipowaambia Waandishi 'Hamna Uhuru Kiasi Hicho' Alishauriwa na Nani..!!!


Tundu Lissu akichangia bajeti habari, sanaa na michezo amesema katiba yetu imeondoa mipaka ya uhuru wa habari na kipindi kuanzia mwaka 2015 uhuru wa habari unakabiliwa na hatari kuliko kipindi chochote,

Amemuuliza waziri wa katiba na sheria kuwa rais aliposema hadharani kuwa waandishi wa habari hawana uhuru kiasi hicho kwa kutangaza habari za migogoro ya wakulima na wafugaji alikuwa ameshauriwa na mtu au ni yeye mwenyewe?

Amesema kuna mambo mabaya yanafanyika lakini wabunge wanayazuia yasihojiwe bungeni ila baada ya muda na wao wataanza kushughulikiwa na hakutakuwa na kelele 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad