Makosa Wanayofanya Wanaume Walio Kwenye Ndoa


1- Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari


2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati

kumeshadekiwa


3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.


4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.


5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa

taarifa.


6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike

kuwa anavutia bila hofu.


7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali

atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.


9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika


10- Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege


11-Kutofua boxer na socks zake hadi wife

awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad