Mbunge wa CCM Ashangiliwa na Upinzani Bungeni Baada ya Kuhoji Zilipo Milioni 50 Kila Kijiji...!!!


Katika hali ya kushangaza mbunge wa CCM ameshangiliwa na upinzani bungeni mara baada ya kuhoji zilipo Milioni 50 ambazo katika Ilani ya Chana cha mapinduzi zilitajwa kugaiwa kwa kila kijiji nchi Tanzania...

Alipongezwa na wabunge ambao wengi wao ni kutoka upinzani

Nini maoni yako katika hili?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad