RAIS Magufuli Aamuru TRA, TFDA, TBS na TPA Wawe Wanafanya Kazi Saa 24 Bandarini Kuanzia Jumatatu

Ili kukamilisha kazi ya kutoa mzigo bandarini kwa muda mfupi, mamlaka hizo hizo zimeamriwa kufanya kazi masaa 24 kwa shift, kwa kuwa bandarini ni sehemu sensitive.

Waziri Mkuu amesema anataka kupata taarifa Jumatatu kuwa utekelezaji huo umefanyika,.

Amesema bandari ya Mombasa inatoa mzigo ndani ya siku 9 huku ya Dar ikichukua siku 14.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad