RAIS wa Korea Kaskazini Atoa Agizo Wakulima Walime Bangi kwa Wingi..!!!


Rais wa Korea Kaskazini Kim Un Jong amewaamuru wakulima wa nchi hiyo kulima bangi kwa wingi. Serikali ya Korea Kaskazini inatumia mafuta ya bangi kwa ajili ya kurusha ndege zisizokuwa na rubani (Drones).

Nchi hiyo inakabiliwa na upungufu wa mafuta kutokana na vikwazo vya uchumi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad