SIMBA Kumenuka...Wengine Watatu Kujiuzulu


Leo Mei 14, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Simba, Zacharia Hans Poppe ameachia ngazi.


Habari za uhakika zimeeleza kuwa Hans Poppe ameandika barua ya kuachia ngazi baada ya kuona mambo yanaendeshwa ndivyo sivyo katika klabu hiyo.  


Hata hivyo baada ya taarifa hiyo, Wengine wanaotajwa kuwa huenda wakajiuzulu nyadhifa zao kwenye kamati ya Utendaji ni Kassim Dewji, Abdallah na Nassoro 
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad