TRUMP Adhihirisha Ubabe Wake Mbele ya Mfalme wa Saud Arabia..Azikataa Taratibu na Protoko Alizoandaliwa na Wenyeji Wake..!!!


Katika ziara itakayomoeleka Donald Trump katika mataifa kadhaa matano kuanzia Saud Arabia mpaka Brussels, Jerusalem ikiwamo imeonekana kupokelewa kwa mtazamo tofauti ukilinganisha na msimamo wake juuya uislamu na namna Saud Arabia ilivyompa heshima ya hali ya juu hasa wengi wakiilinganisha na ziara ya Obama aliyoifanya mara ya mwisho akiwa madarakani. 

Mambo yaliyoteka mijadala mitandaoni ni pamoja na 

Heshima Trump anayoonekana kuipata kutoka kwa taifa la Saud Arabia kuanzia kwenye mapokezi ambayo Obama hakuwahi kuyapata.

Kitendo cha Trump kumuweka mwanamke kama translater wa mazungumzo yao na mtazamo wa Arab kuhusu uhusika wa wanawake katika masuala nyeti katika jamii.

Swala la Melanie Trump kutokuvaa head scarf kama ilivyozoeleka kwa Hillary Clinton, Condoleezza Rice na Michelle Obama pamoja na staff wao waliokua wakivaa head scarfs kuenzi utamaduni wa Arab

Msisimko wa mji wa Riadh katika ziara hii ya Donald Trump ambapo wananchi wa Saudia wameonekana kuvutiwa na kumpokea Mr President kwa upendo bila kujali misimamo ya Donald Trump kuhusu Uislamu ambayo ndio dini ya Saudis

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad