Zitto avipa "kibomu" Vyombo vya Habari

"Natamani vyombo vya Habari kufanya uchambuzi wa kina wa tozo ambazo Serikali imesema imeondoa kumsaidia mkulima. Hii ni Habari pekee ambayo inapigiwa debe mno na Serikali kiasi cha kuficha kabisa uhalisia kwamba Mwaka Jana Serikali ilitoa 3% tu ya fedha za Bajeti ya Maendeleo ya Kilimo.

Nataraji kuwa taasisi Kama MVIWATA zitatupatia uchambuzi wao" Amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Facebook

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad