Bajeti ya 2017/18..Wamachinga na Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Wote Kusajiliwa na Kupewa Vitambulisho..!!!


Serikali imetangaza neema kwa wafanyabiashara wadogo wadogo wasio rasmi wakiwamo mama lishe na baba lishe, ikiahidi kuwapa vitambulisho maalumu vitavyosaidia kuwatambua rasmi.

 Amesema vitambulisho hivyo vitawasaidia kutengewa maeneo maalumu ya kufanyia biashara.

Akiwasilisha mapendekezo ya bajeti kuu leo, Alhamisi kwa mwaka wa fedha 2017/18, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema hatua hiyo inalenga kuwasaidia wafanyabiashara hao ili kukuza mitaji yao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad