Ben Pol na Mchekeshaji Abitoke Sio Siri Tena..Abitoke Afunguka


From @ebitoke - Nimeona niweke comedy pembeni leo naongea kitu siriazi.

Najua wengi hamjawahi kuona nikipost mpenzi wangu ila nimeona leo niweke wazi. Kwa muda mrefu nimeficha hisia zangu kwa mwanaume huyu sababu nilikua naogopa kumueleza ukweli leo nimeona niseme ukweli.

Nampenda sana @iambenpol Natamani awe mpenzi wangu wa maisha, sijui kama anayempenzi wake au laa ila natanguliza samahani kama nimemkosea kumueleza hisia zangu mtandaoni nahisi siwezi kumueleza live naomba mliokaribu nae mumueleze hisia zangu.

Niko tayari kuolewa nae wakati wowote. Najua wengine mtanitukana au kunikejeli kua sina hadhi ya kuwa mpenzi wake.

Naombeni mumfikishie ujumbe huu @iambenpol
Mwambieni NAMPENDA
💟💟💟💟 😍😍😍😍
#TrueLove -
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad