EBITOKE na Ben Pol Wameanza kuchati


Msanii Mchekeshaji Ebitoke baada ya kutamka mtandaoni kuitaka ndoa na msanii Ben Po lakini kubwa zaidi aliomba nafasi ya kukutana naye ili aweze kumueleza Ana kwa ana, Ben Pol alikubali la ombi hill la kukutana nacye.

Muungwna Blog na Tv imepiga stori na Ebitoke kutaka kujua kama tayari ameshaonana na Ben Pol? Amejibu kuwa Mpaka sasa hawajaonana Ila Wanachati sana na kupigiana simu!
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad