EXCLUSIVE: Mchekeshaji Ebitoke aahidi kujitunza kwa ajili ya Ben Pol

Ebitoke
Moja ya story kubwa hivi sasa ambayo ina-make headlines ni kuhusu Mchekeshaji Ebitoke kuweka wazi akieleza hisia zake kuwa siku moja anatamani kuwa mke wa staa wa RnB Bongo Ben Pol.

Kwenye EXCLUSIVE Interview na Ayo TV na millardayo.com Ebitoke ameeleza kila kitu kuhusu anavyohisi kila anapomuona Ben Pol na namna alivyojiweka tayari kuwa mke wa staa huyo Bongofleva akidai kuwa hakuwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yeyote kwa ajili ya Ben Pol akisema ameumia baada ya kujua ana mtoto.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad