Kumbukumbu: Ni Kipi Kiliwafanya Barrick(Acacia) Kumpa Mkapa Kinyago cha Dhahabu..!!!?


Wakati akiwa madarakani alipotembelea mojawapo ya mgodi wa Barick gold mine alipewa kinyago cha dhahabu. Ni kipi kiliwafanya Barick kumpa zawadi ile ya kinyago cha dhahabu Mkuu? Je Mkulu aliwafanyia nini hawa jamaa mpaka wakampa zawadi ya thamani kiasi hicho?

Tuache siasa tuongee ukweli tupu.

Chanzo JF

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ndio Rushwa zenyewe, viongozi wengi wa bara hili, wanadanganywa kwa turushwa rushwa tudogo TU, twa mifukoni na kuacha uchumi WAO ukiteketea kwa kuibiwa. Mwisho wa siku wanaonekana ni wajinga. Na akili zao ni fupi na kuishia kuitwa nchi masikini. ZA dunia ya tatu.

    ReplyDelete
  2. Zawadi yeyote anayopewa Mkuu wa nchi anapokuwa Madarakani inakuwa ni kumbu kumbu ya Nchi na inawekwa State house with a small discription wereby inakuwa ni Historia ya uongozi wa Taifa katika jumba la Taifa.
    Na hii zawadi unayoizungumzia iko Ikulu na Magufuli kwa sasa ndiye Custodian.
    na kama Benjamini aliichukua kuisafisha vumbi .Basi tafadhali Haraka sana irudishe mahali pake.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad