Maajabu Marekani Imesaini Mkataba wa Kuizia Qatar Ndege za Kivita Aina ya F-15 kwa $12billions..!!


Wengi Mnakumbuka Sekeseke la Juzi ambapo Marekani waliishutumu Qatar kusaidia kifedha Mitandao ya Ugaidi.

Balozi mbalimbali zilifungwa na Sasa Marekani na Qatar wamesaini deal ya Kuuziana ndege za Kivita aina ya F-15 zenye Thamani karibia Tsh. 25Trillions
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad