Rais JPM Ataka Vyombo vya Dola Viwahoji Viongozi Waliohusika Kwenye Mikataba ya Mchanga

Magufuli
Rais John Magufuli avitaka vyombo vya Dola viwahoji watendaji wa serikali walioshiriki kwenye mikataba ya madini tuliyoinga tangu mwaka 1994.

Rais Magufuli amesema kuwa watendaji hao walikosa uzalendo kwa kuweka mbele maslahi yao binafsi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad