Mrembo Jokate na Ndoto za Kupata Watoto Mapacha

Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake.



Jokate ameliambia Gazeti la Mtanzania kuwa mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi karibuni lakini anapenda wawe na watoto mapacha atakaowalelea kijijini.

“Kuna umri ukifika unajikuta unatamani kupata mtoto, napenda nipate watoto mapacha na wote niwalee maisha ya kijijini na mjini ili wajue maisha ya pande zote. Napenda niwalee watoto hao maisha ya kijijini ili wajifunze kilimo, kula chakula vya asili na wajifunze tabia nzuri na za kupendeza jamii,” alieleza Jokate.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad