Nchemba: Polisi Hawajazuia Chadema Kufanya Mikutano na Kuwapendelea CCM..!!


Akijibu swali la Mh Mchungaji Peter msigwa mbunge wa Iringa mjini amesema kwamba serikali haiwezi kjwapendelea CCM (Chama cha mapinduzi) na kuwazuia chadema ila tu tunataka sheria na utaratibu ufatwe.

Sheria zote zipo na kila chama kinatakiwa kujua hilo na sio kujiamulia tu kufanya kila chama kinatakiwa kuomba kibali cha kufanya mikutano ya hadhara na sio vinginevyo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad