Okwii Amalizana na Simba ..Hans Pope Amfuata Uganda na Kumsainisha Mchana Kweupee..!!!


Emmabuel Okwi amemalizana na Simba mjini Kampala, Uganda, leo hii.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amekutana na Okwi na kumalizana mjini Kampala.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad