Ratiba ya Awali, Mazishi ya Mzee Philemon Ndesamburo...!!!


Kwa wale ambao wangependa kujua kuhusiana na ratiba ya mazishi ya kumpumzisha mzee wetu Mh Philemon Ndesamburo ambaye alikuwa mbunge wa Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA kabla ya kustaafu ni kwamba ipo hivi : 


Tarehe 5/06 siku ya Jumatatu katika uwanja wa Mashujaa Moshi ndipo ndugu jamaa na marafiki na wageni watapata fursa ya kutoa heshima za mwisho.


Tarehe 6/06 siku ya Jumanne ndiyo siku rasmi ya kumpumzisha mzee, ibada ya mazishi inategemewa kufanyika nyumbani kwake kdc-kiboroloni na ndipo atakapozikwa.


Tutaendelea kujuzana kila litakalojiri.

Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Rajiun.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad