Taifa Stars Yatinga Robofainali COSAFA


Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imefuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya michuano ya COSAFA inayo endelea huko nchini Afrika Kusini baada ya kutoka sare ya goli moja kwa moja dhidi ya Mauritius.

Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakiingia uwanjani

Stars ambayo inaongoza kundi A kwa kuwa na jumla ya alama tano sawa na timu ya taifa ya Angola, inatofautiana kwa magoli ya kufunga na kufungwa.


Bao pekee la Stars lilifungwa na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simon Msuva na kuiwezesha Tanzania kutinga hatua ya robo fainali ambapo itakabiliana na mwenyeji wa michuano hiyo timu ya Afrika Kusini.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad