TANESCO Yawatahadharisha Wanaoomba Ajira

TANESCO Yawatahadharisha Wanaoomba Ajira
Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), limetoa tahadhari juu ya matapeli waajira ambao wamekuwa wakiwatapeli watu kuwa watawapa ajira kwa kuwalipa viwango mbalimbali za fedha kulingana na walizoomba Tanesco.



Soma taarifa kamili:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad