Ukarimu Mwingine Kutoka Vodacom Unaoendelea Kuwafikia Watanzania

Ukarimu ni miongoni mwa mambo ambayo huwafanya watu kuishi kwa amani, upendo, ushirikiano na mshikamano siyo tu Tanzania bali popote katika Dunia hii.

Sio kila sehemu unaweza kuupata ukarimu lakini Vodacom Tanzania Foundation wameweza na wametusogezea Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom kwa lengo la kuwaleta pamoja Watanzania katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan.

Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom imendeelea kuwafikia Watanzania katika maeneo mbalimbali Tanzania ikiwa na lengo la ukarimu, ushirika na utoaji katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan na katika maisha ya kila siku.


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ocean inayomilikiwa na Taasisi ya Marwa iliyoko Mtwara wakijiandaa kupata Futari mwishoni mwa Juma.


Watoto wanaolelewa katika kituo cha Watoto Yatima cha Mwinyi Baraka kilichopo Misugusugu Kibaha, Pwani, wakiwa na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Glori Mtui.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad